HIV NDIVYO ILIVYO , MGUU 1 WA MESI N ZAID YA MIGUU 22 YA WACHEZAJ WA CELTC : Lig ya mabngwa baran Ulaya ilianza rasmi hapo jana kwa michezo 7 ya makundi A-D huku mechi zngine 9 zkipgwa leo kuanzia kundi E-H , pa1 na mchezo wa kiporo wa kundi C kat ya Ct v/s Borusia moncheng gladbach . Ktk mchezo pekee wa kundi C kat ya FC BARCA v/s CELTC mvua ya magol iliwashukia Celtc ikiôngozwa na Brendan Rodgers Pa1 na baadh ya majna toka EPL kama , Kolo-2re , Adam Amstong , Sinclair na Boyata , huku mesi akifunga hat trick ktk mchezo huo . Mbali na hat trick Mesi amewaongoza wachezaj kutoka AMERIKA KUCN toka nchi 4 za ARGENTNA , BRAZIL , URUGUAY na CHILE kufunga gol 11 kat ya 22 yaliofungwa jana , huku mengine 11 yakiongozwa na mjeruman Joshua Kimmich kufungwa na wachezaj wa Ulaya toka mataifa 4 tofaut ambayo n SPAIN , POLAND , SWITSLAND na GERMANY . Sasa swali je , Cr7 ata wakomboa Celtc leo?

No comments:
Post a Comment