Wednesday, September 14, 2016

SEMI MBALIMBALI TUNAZOZIISHI KATIKA JAMII

NI USEMI UPI UMEKUKAMATA?:

1. "Kuzaliwa masikini siyo kosa lako,ila kufa masikini ni ujinga wako." ~ Bill Gate

2. "Kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa." ~ Felix Bundala

3. "Heri kufa na mawazo yanayoishi, kuliko kuishi na Mawazo yaliyokufa." ~ Che Guevara

4. "Vita inamalizwa kwa vita na ili tuachane na matumizi ya bunduki inabidi itumike bunduki." ~ Mao ze Dong

5. "Sitamani kumjua babu yangu alikuwa nani, ninachotaka kumfahamu mjukuu wake atakuwa na tabia gani." ~ Martin Luther King

6. "Usimuulize mtu yoyote anayenijua mimi maana utamjua yeye kupitia mimi." Joe Lescot

7. "Muonekano siku zote hutengeneza uwezekano." ~ Lucky Crackent

8. "Hatuwapendi wanawake kwa sababu ni wazuri, ila tunawaona wazuri kwa sababu tunawapenda." ~ Luck Crackent

9. "Watu ni wengi ila binadamu ni wachache." ~ Fidel Castro

10. "Usiishi kwa sababu unaishi, tafuta sababu ya wewe kuishi." ~ Jay Ozil Cazorla Wilshere

11. "Hakuna mkate mgumu mbele ya chai." ~ Bob Sydou

12. "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu." ~ Thabiti Kube..

No comments:

Post a Comment