UTAPIAMLO KWA WATOTO UNAEPUKIKA!
Je, wajua kwamba kwa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) asilimia 45 ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano vinatokana na lishe duni?
Je, wajua kwamba watoto wa kundi hili wapatao milioni tano na laki 9 walifariki duniani mwaka 2015 pekee?
OKOA MAISHA YA MWANAO KWA KUMPATIA MLO KAMILI ULIOSHAMIRISHWA NA VIINI LISHE
Wednesday, September 14, 2016
SEMI MBALIMBALI TUNAZOZIISHI KATIKA JAMII
NI USEMI UPI UMEKUKAMATA?:
1. "Kuzaliwa masikini siyo kosa lako,ila kufa masikini ni ujinga wako." ~ Bill Gate
2. "Kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa." ~ Felix Bundala
3. "Heri kufa na mawazo yanayoishi, kuliko kuishi na Mawazo yaliyokufa." ~ Che Guevara
4. "Vita inamalizwa kwa vita na ili tuachane na matumizi ya bunduki inabidi itumike bunduki." ~ Mao ze Dong
5. "Sitamani kumjua babu yangu alikuwa nani, ninachotaka kumfahamu mjukuu wake atakuwa na tabia gani." ~ Martin Luther King
6. "Usimuulize mtu yoyote anayenijua mimi maana utamjua yeye kupitia mimi." Joe Lescot
7. "Muonekano siku zote hutengeneza uwezekano." ~ Lucky Crackent
8. "Hatuwapendi wanawake kwa sababu ni wazuri, ila tunawaona wazuri kwa sababu tunawapenda." ~ Luck Crackent
9. "Watu ni wengi ila binadamu ni wachache." ~ Fidel Castro
10. "Usiishi kwa sababu unaishi, tafuta sababu ya wewe kuishi." ~ Jay Ozil Cazorla Wilshere
11. "Hakuna mkate mgumu mbele ya chai." ~ Bob Sydou
12. "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu." ~ Thabiti Kube..
1. "Kuzaliwa masikini siyo kosa lako,ila kufa masikini ni ujinga wako." ~ Bill Gate
2. "Kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa." ~ Felix Bundala
3. "Heri kufa na mawazo yanayoishi, kuliko kuishi na Mawazo yaliyokufa." ~ Che Guevara
4. "Vita inamalizwa kwa vita na ili tuachane na matumizi ya bunduki inabidi itumike bunduki." ~ Mao ze Dong
5. "Sitamani kumjua babu yangu alikuwa nani, ninachotaka kumfahamu mjukuu wake atakuwa na tabia gani." ~ Martin Luther King
6. "Usimuulize mtu yoyote anayenijua mimi maana utamjua yeye kupitia mimi." Joe Lescot
7. "Muonekano siku zote hutengeneza uwezekano." ~ Lucky Crackent
8. "Hatuwapendi wanawake kwa sababu ni wazuri, ila tunawaona wazuri kwa sababu tunawapenda." ~ Luck Crackent
9. "Watu ni wengi ila binadamu ni wachache." ~ Fidel Castro
10. "Usiishi kwa sababu unaishi, tafuta sababu ya wewe kuishi." ~ Jay Ozil Cazorla Wilshere
11. "Hakuna mkate mgumu mbele ya chai." ~ Bob Sydou
12. "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu." ~ Thabiti Kube..
Lionel Andres Messi
HIV NDIVYO ILIVYO , MGUU 1 WA MESI N ZAID YA MIGUU 22 YA WACHEZAJ WA CELTC : Lig ya mabngwa baran Ulaya ilianza rasmi hapo jana kwa michezo 7 ya makundi A-D huku mechi zngine 9 zkipgwa leo kuanzia kundi E-H , pa1 na mchezo wa kiporo wa kundi C kat ya Ct v/s Borusia moncheng gladbach . Ktk mchezo pekee wa kundi C kat ya FC BARCA v/s CELTC mvua ya magol iliwashukia Celtc ikiƓngozwa na Brendan Rodgers Pa1 na baadh ya majna toka EPL kama , Kolo-2re , Adam Amstong , Sinclair na Boyata , huku mesi akifunga hat trick ktk mchezo huo . Mbali na hat trick Mesi amewaongoza wachezaj kutoka AMERIKA KUCN toka nchi 4 za ARGENTNA , BRAZIL , URUGUAY na CHILE kufunga gol 11 kat ya 22 yaliofungwa jana , huku mengine 11 yakiongozwa na mjeruman Joshua Kimmich kufungwa na wachezaj wa Ulaya toka mataifa 4 tofaut ambayo n SPAIN , POLAND , SWITSLAND na GERMANY . Sasa swali je , Cr7 ata wakomboa Celtc leo?
Mwenyekiti wa bunge aomba radhi
Mwenyekiti wa Bunge amwomba radhi Mbowe
Hatua hiyo imefutia mwongozo ulioombwa na wabunge wawili Chadema, kuwa mchango wa Mbowe haukutambulika licha ya kufika Bukoba, kutoa misaada na kushirikiana na waathirika wa tukio hilo hadi sasa.
Aliyeanza kuomba mwongozo ni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche ambaye alihoji kwa nini mwenyekiti huyo wa Bunge amewatambua viongozi waliofika eneo la tukio na kutoa misaada lakini ameshindwa kumtambua Mbowe ambaye mpaka sasa yupo eneo la tukio na ametoa msaada.
Mbunge mwingine ni Pascal Haonga wa Mbozi ambaye alisema Mbowe ni kiongozi mkubwa na halitakuwa jambo la maana kama mchango wake hautatambulika kwani suala hilo siyo la kisiasa.
Kufuatia mwongozo huo, Zungu aliomba radhi na kuongeza kuwa anamtambua Mbowe kama kiongozi aliyetoa msaada kwa waathirika hao.
Awali, Mwenyekiti huyo wa Bunge baada ya kuingia ukumbini alitoa pole kwa waathirika wa tetemeko hilo lililoua watu 17 na kuwatambua watu waliochangia tukio hilo akiwamo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na wafanyabiashara.
Baada ya kipindi cha maswali na majibu kuisha, mwenyekiti huyo aliwatambua wafanyabiashara wengine waliotoa msaada kwa waathirika hao lakini hakugusia msaada ulitolewa na Mbowe.
Hatua hiyo imefutia mwongozo ulioombwa na wabunge wawili Chadema, kuwa mchango wa Mbowe haukutambulika licha ya kufika Bukoba, kutoa misaada na kushirikiana na waathirika wa tukio hilo hadi sasa.
Aliyeanza kuomba mwongozo ni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche ambaye alihoji kwa nini mwenyekiti huyo wa Bunge amewatambua viongozi waliofika eneo la tukio na kutoa misaada lakini ameshindwa kumtambua Mbowe ambaye mpaka sasa yupo eneo la tukio na ametoa msaada.
Mbunge mwingine ni Pascal Haonga wa Mbozi ambaye alisema Mbowe ni kiongozi mkubwa na halitakuwa jambo la maana kama mchango wake hautatambulika kwani suala hilo siyo la kisiasa.
Kufuatia mwongozo huo, Zungu aliomba radhi na kuongeza kuwa anamtambua Mbowe kama kiongozi aliyetoa msaada kwa waathirika hao.
Awali, Mwenyekiti huyo wa Bunge baada ya kuingia ukumbini alitoa pole kwa waathirika wa tetemeko hilo lililoua watu 17 na kuwatambua watu waliochangia tukio hilo akiwamo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na wafanyabiashara.
Baada ya kipindi cha maswali na majibu kuisha, mwenyekiti huyo aliwatambua wafanyabiashara wengine waliotoa msaada kwa waathirika hao lakini hakugusia msaada ulitolewa na Mbowe.
Subscribe to:
Comments (Atom)
